• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na LIshe
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI
    • Vitengo
      • TEHAMA na TAKWIMU
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • Michezo , Utamaduni na Sanaa
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

NAIBU WAZIRI WA NCHI - OFISI YA RAIS ,MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA AFANYA ZIARA YA KIKAZI HALMASHAURI YA WILAYA SINGIDA KUANGALIA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASKINI (TASAF)

Posted on: January 7th, 2020

Naibu Waziri wa Nchi-Ofis ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe.  Dkt. Mary M. Mwanjelwa(Mb), akiwa katika ziara ya kikazi halmashauri ya wilaya ya Singida kuangalia utekelezaji wa shughuli za mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) na hatimaye kuongea na wananchi wa Kijiji cha Kibaoni kilichopo kata ya Mudida wilayani humo.


Picha:  Ziara ya Naibu Waziri wa Nchi- Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Dkt. Mary M. Mwanjelwa(Mb) akizungumza na walengwa wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) kijiji cha Kibaoni, kata ya Mudida iliyopo katika halmashauri ya wilaya ya Singida.

Picha: Wanufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) kijiji cha Kibaoni, kata ya Mudida halmashauri ya wilaya ya Singida wakitoa zawadi zao kama shukrani kwa Naibu Waziri  wa Nchi- Ofis ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora  Mhe. Dkt. Mary M. Mwanjelwa(Mb) alipotembelea kijijini hapo.

Picha: Naibu Waziri  wa Nchi- Ofis ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.  Dkt. Mary M. Mwanjelwa(Mb) akiwa dukani kwa mnufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) Bi. Mariamu M. Jingu katika kijiji cha Kibaoni kilichopo halmashauri ya wilaya ya Singida.

Picha: Naibu Waziri  wa Nchi- Ofis ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe.  Dkt. Mary M. Mwanjelwa(Mb) akitoka nyumbani kwa mnufaika wa mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) Bi. Amina Hamisi Nyuha  katika kijiji cha Kibaoni kilichopo halmashauri ya wilaya ya Singida.



Matangazo

  • TANGAZO LA MARUDIO NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA July 02, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA UFADHILI WA MAFUNZO YA KUJENGEWA UWEZO KWA WATUMISHI WA SERIKALI NA SEKTA BINAFSI July 02, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE NGAZI YA MKOA NA WILAYA KWA MWAKA 2025 June 10, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • ZIARA YA DC GODWIN GONDWE, KUKAGUA MAANDALIZI YA UJIO WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, SINGIDA DC.

    June 21, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (PEPMIS)

    June 20, 2025
  • TASWIRA YA DARAJA LA JP MAGUFULI, (KIGONGO - BUSISI)

    June 19, 2025
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO - BUSISI)

    June 19, 2025
  • Angalia zote

Video

Mgogoro wa Ardhi Tarafa ya Mgori wamaliizika
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Jengo la Utawala Kijiji cha Mwahango Kata ya Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.