• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na LIshe
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI
    • Vitengo
      • TEHAMA na TAKWIMU
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • Michezo , Utamaduni na Sanaa
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

UFUNGUZI WA MSIMU WA KILIMO HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA

29 September 2021

Tangazo la Kilimo.pdf


TANGAZO

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA ANAWATANGAZIA WAKULIMA NA WADAU WOTE WA KILIMO KUWA KUTAKUWA NA WIKI YA UZINDUZI WA MSIMU WA KILIMO KUANZIA TAREHE 04 HADI 09 OKTOBA 2021 KATIKA KATA MSANGE

AMBAPO ELIMU NA BIDHAA MBALIMBALI ZITAKUWEPO KAMA VILE

  • MBEGU BORA, ZANA ZA KILIMO KAMA VILE PLANTER, MBOLEA NA VIUATILIFU
  • ELIMU YA KILIMO BORA ITAKAYOTOLEWA NA WATAALAMU KUTOKA TAASISI ZA UTAFITI KAMA VILE (TARI NA RECODA) BILA KUWASAHAU WATAALIMU WA KILIMO KUTOKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA
  • ELIMU KUHUSU MABADILIKO YA TABIA NCHI ITAKAYOLEWA NA WATAALAMU KUTOKA TREE THE FUTURE NA FORUM CC
  • ELIMU YA KILIMO BIASHARA NA UFUGAJI WA KISASA
  • ELIMU YA UJASIRIAMALI
  • USAJILI WA WAKULIMA KWENYE MFUMO WA M-KILIMO
  • ELIMU YA KUTAMBUA MBEGU NA VIUATILIFU BANDIA KUPITIA MFUMO WA BAR CODE
  • ELIMU YA MIKOPO NA UPATIKANAJI WA MIKOPO YA KILIMO
  • ELIMU YA SOKO NA MASOKO
  • ELIMU KUHUSU AFYA YA UDONGO
  • ELIMU YA BIMA YA MAZAO
  • ELIMU YA KILIMO MKATABA
  • BURUDANI NGOMA ZA ASILI KUTOKA UNYATURU EMPIRE
  • YOTE TISA KUMI NI BURUDANI YA BONANZA LA MECHI KALI KATI YA FARU FC(MSANGE) NA ALIZETI FC (MANGIDA) ‘HII NI SHIDAAA UNAAMBIWA NI DABI YA KUNYOA AMA KUSUKA HAPA WANASEMA WAO MTOTO HATUMWI DUKANI ‘

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE NGAZI YA MKOA NA WILAYA KWA MWAKA 2025 June 10, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 17, 2025
  • MAENEO YA UWEKEZAJI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA January 03, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • ZIARA YA DC GODWIN GONDWE, KUKAGUA MAANDALIZI YA UJIO WA MBIO ZA MWENGE WA UHURU, SINGIDA DC.

    June 21, 2025
  • WATUMISHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA WAPATIWA MAFUNZO YA MFUMO WA USIMAMIZI WA UTENDAJI KAZI KATIKA UTUMISHI WA UMMA (PEPMIS)

    June 20, 2025
  • TASWIRA YA DARAJA LA JP MAGUFULI, (KIGONGO - BUSISI)

    June 19, 2025
  • RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA DARAJA LA JP MAGUFULI (KIGONGO - BUSISI)

    June 19, 2025
  • Angalia zote

Video

Mgogoro wa Ardhi Tarafa ya Mgori wamaliizika
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Jengo la Utawala Kijiji cha Mwahango Kata ya Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.