• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na LIshe
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI
    • Vitengo
      • TEHAMA na TAKWIMU
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • Michezo , Utamaduni na Sanaa
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

MAMLAKA YA USIMAMIZI WA WANYAMAPORI TANZANIA( TAWA) KANDA YA KATI,YATOA MAFUNZO KWA ASKARI WA JESHI LA AKIBA

Posted on: October 25th, 2024

Maafisa uhifadhi wanyamapori kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA) kanda ya kati, wametoa mafunzo ya namna ya kukabiliana na wanyamapori wakali na waharibifu hususan Tembo, kwa Askari wa Jeshi la Akiba katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida.

Mafunzo hayo yamefanyika kuanzia leo tarehe 25/10/2024 katika ofisi za tarafa ya Ilongero iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida, ambapo askari 41 kutoka katika vijiji 21 vinavyokabiliwa na tatizo la uvamizi wa Tembo, wameshiriki mafunzo hayo yaliyo tolewa kwa nadharia na vitendo. Mafunzo hayo yametolewa kwa lengo la kuwajengea uwezo askari ili kupanua wigo wa kukabiliana na Tembo pindi wanapovamia maeneo ya makazi ya watu na mashamba.

Jumla ya askari 210 wa Jeshi la Akiba katika Halmashauri ya Wilaya ya Singida wanatarajiwa kupata mafunzo hayo kwa kupitia vituo vinne vya mafunzo mpaka kufikia tarehe 31/10/2024, kupitia vituo vinne vya mafunzo ambavyo ni Irongelo, Mtinko, Ngimu na Mughunga.

Matangazo

  • TANGAZO LA WATUMISHI KUHUSU WCF September 10, 2025
  • TANGAZO LA FURSA ZA KUTOA HUDUMA ZA CHAKULA (CATERING) KATIKA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA September 01, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 30, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI ZA MUDA July 17, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • HALMASHAURI ZAKUMBUSHWA KUTENGA BAJETI YA WANAMICHEZO SHIMISEMITA

    August 29, 2025
  • KIKAO CHA ROBO YA NNE CHA KAMATI YA LISHE HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA: TATHMINI YA UTENDAJI NA UWAJIBIKAJI KWA MWAKA 2024/2025

    August 27, 2025
  • TUMIENI MICHEZO KUHAMASISHA WANANCHI KUJITOKEZA KUPIGA KURA

    August 23, 2025
  • WAFAANYAKAZI NA WANANCHI WAJUMUIKA KATIKA BONANZA LA MICHEZO ILONGERO

    August 09, 2025
  • Angalia zote

Video

MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI NA UNYANYASAJI KWA JAMII KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Jengo la Utawala Kijiji cha Mwahango Kata ya Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.