• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na LIshe
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI
    • Vitengo
      • TEHAMA na TAKWIMU
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • Michezo , Utamaduni na Sanaa
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

RC SINGIDA AZINDUA JENGO JIPYA LA UTAWALA

Posted on: August 16th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Peter Joseph Serukamba amewataka watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida kuendelea kutoa huduma bora kwa wananchi. Hayo ameyasema siku ya jumanne ya tarehe 15, Agosti 2023 kwenye hafla fupi ya uzinduzi wa utoaji huduma katika jengo jipya la Halmashauri ya Wilaya ya Singida lililopo kijiji cha Mwahango kata ya Ilongero.

“Niombe ndugu zangu na wafanyakazi wa Halmashaurii tutoe huduma bora kwa wananchi , tujipe nafasi ya kuwasikiliza watu matatizo yao” amesema Serukamba.

Akizungumza na wananchi, viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini, wazee mashuhuri pamoja na watumishi wa Halmashauri, Mhe. Serukamba ameitaka idara ya ardhi kuendelea kupangilia mji wa Ilongero vizuri zaidi katika bajeti ya mwaka wa fedha 2023/ 2024 kwani uwepo wa makao makuu ya Halmashauri katika kata ya Ilongero kunatoa fursa kubwa katika ongezeko la huduma za kijamii na kiuchumi.

Aidha Mhe. Serukamba ameishukuru serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uwekezaji mkubwa katika miradi ya maendeleo mkoani Singida ikiwemo miradi ya kilimo na umwagiliaji, mradi wa maji safi na salama, umeme, TASAF, barabara na miradi ya shule, angalau kila kijiji kina mradi wa maendeleo unaotekelezwa.


Picha ya pamoja na mgeni rasmi ambaye ni Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe. Peter Joseph Serukamba(wa nne kulia) katika hafla fupi ya uzinduzi wa utoaji huduma kwenye jengo jipya la Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Wapili kushoto ni   Mbunge wa jimbo la Singida Kaskazini Mhe. Ramadhan Abeid Ighondo na watatu kulia ni Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Mhe. Elia Digha

Matangazo

  • TANGAZO LA KUKODISHWA KWA SHAMBA LA MBEGU LA MPAMBAA September 16, 2025
  • TANGAZO LA WATUMISHI KUHUSU WCF September 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI August 30, 2025
  • TANGAZO LA FURSA ZA KUTOA HUDUMA ZA CHAKULA (CATERING) KATIKA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA September 01, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MKUTANO MAALUM WA MAANDALIZI YA MSIMU WA KILIMO, WILAYA YA SINGIDA.

    October 03, 2025
  • TIMU YA UKAGUZI KUTOKA KIKOSI CHA ZIMAMOTO NA UOKOAJI, YAFANYA UKAGUZI.

    October 02, 2025
  • MHE. GONDWE ATEMBELEA MIRADI YA LISHE KATIKA SHULE 3 ZA SEKONDARI.

    September 29, 2025
  • USAFI WA MAZINGIRA WAFANYIKA, KATA YA MUGHAMO

    September 26, 2025
  • Angalia zote

Video

WATUMISHI WAPYA WAASWA KUWEKA AKIBA
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Jengo la Utawala Kijiji cha Mwahango Kata ya Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.