• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na LIshe
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI
    • Vitengo
      • TEHAMA na TAKWIMU
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • Michezo , Utamaduni na Sanaa
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

WASIMAMIZI NA WADAU WA UCHAGUZI WILAYA YA SINGIDA WAPEWA MAELEKEZO YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA, 2024

Posted on: September 26th, 2024

Wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya kata na kijiji pamoja na wadau wa uchaguzi ambao ni viongozi wa dini na wawakilishi wa vyama vya siasa wamepewa maelekezo ya uchaguzi wa serikali za mitaa 2024, katika ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Singida iliyopo kijiji cha Mwahango.

Maelekezo hayo yanafafanua hatua zitazoongoza mchakato wa uchaguzi, kuanzia uandikishaji wa wapiga kura, uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kugombea, uteuzi wa wagombea na terehe ya siku ya uchaguzi. Maelekezo hayo yanalenga kutoa muongozo ili kuhakikisha uchaguzi unafanyika kwa wazi, haki na usawa na kwa kuzingatia sheria zilizowekwa.

Katika kikao hicho Msimamizi wa uchaguzi, Halmashauri ya Wilaya ya Singida Nasoro Kitia amewasisitiza wasimamizi na wadau hao kuhakikisha wanawafikishia wananchi maelekezo hayo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA WAKIMBIZA MWENGE NGAZI YA MKOA NA WILAYA KWA MWAKA 2025 June 10, 2025
  • TAARIFA KWA UMMA KUHU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU June 04, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 17, 2025
  • MAENEO YA UWEKEZAJI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA January 03, 2025
  • Angalia zote

Habari mpya

  • BARAZA LA MADIWANI LA HOJA ZA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI(CAG)

    June 14, 2025
  • DED SINGIDA DC ASHIRIKI MAFUNZO YA MAADILI KWA VIONGOZI WA UMMA VISIWANI ZANZIBAR.

    June 10, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA YA MKOA WA SINGIDA, KUKAGUA JENGO LA UTAWALA LA HALMASHAURI

    June 09, 2025
  • KATIBU TAWALA WA MKOA WA SINGIDA AMUWAKILISHA MKUU WA MKOA WA SINGIDA KATIKA MKUTANO WA HADHARA WA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI

    June 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mgogoro wa Ardhi Tarafa ya Mgori wamaliizika
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Jengo la Utawala Kijiji cha Mwahango Kata ya Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.