• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na LIshe
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI
    • Vitengo
      • TEHAMA na TAKWIMU
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • Michezo , Utamaduni na Sanaa
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Video

  • DC GONDWE ATOA MAAZIMIO MGOGORO WA MIPAKA KATI YA VIJIJI VYA MUNKHOLA NA MSIKII

    August 13th, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhe. Godwin Gondwe, amefanya ziara katika hifadhi ya msitu wa kijiji cha Munkhola kwa lengo la kusikiliza mgogoro wa mipaka kati ya kijiji cha Munkhola kilichopo Kata ya Mgori na kijiji cha Msikii kilichopo Kata ya Munghamo na kushughulikia suala la uvamizi wa hifadhi ya msitu wa kijiji cha Munkhola.Ziara hiyo ilihusisha wataamu mbali mbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Singida, Singida Manispaa na Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC). Katika jitihada za kumaliza mgogoro huo, Mhe. Gondwe alitoa maazimio mbalimbali ya utekelezaji. 

  • MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA APONGEZA UWEPO WA BONANZA LA MWALIMU NA SAMIA

    August 13th, 2025

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida Mhe. Elia Digha amepongeza uwepo wa bonanza la Mwalimu na Samia lililofanyika leo katika uwanja wa Bombadia ambapo amesema, matukio kama hilo bonanza yanasaidia kuleta motisha kwa walimu ili waendelee kufaya kazi vizuri na kuleta matokeo mazuri zaidi.

  • DC GONDWE APONGEZA WALIMU KWA MAFANIKIO, AHAMASISHA KUONGEZA UFAULU SEKON

    August 13th, 2025

    Mkuu wa Wilaya ya Singida, Mhe. Godwin Gondwe, amewapongeza walimu wa wilaya hiyo kwa juhudi kubwa wanazozifanya katika kuboresha elimu, huku akisisitiza lengo la kuongeza ufaulu na kuondoa daraja la nne na la sifuri katika matokeo ya shule za sekondari.Mhe. Gondwe alitoa pongezi hizo leo, Novemba 23, 2024,katika Bonanza la Mwalimu lililofanyika katika Uwanja wa Bombadia, Manispaa ya Singida.

    Bonanza hilo lililoshirikisha walimu wa wilaya nzima, lilikuwa na lengo la kutambua na kuwazawadia walimu kwa kazi nzuri wanazozifanya, ikiwa ni sehemu ya kuhamasisha mafanikio zaidi katika sekta ya elimu.Mhe. Gondwe alieleza kuwa wilaya ya Singida imeendelea kufanya vizuri katika matokeo ya elimu, ambapo hivi karibuni wilaya hiyo ilishika nafasi ya pili, na Manispaa ya Singida kushika nafasi ya tatu.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari mpya

  • KIKAO CHA TATHMINI CHA MBIO ZA MWENGE ZA MWAKA 2024, NA KUJADILI MAANDALIZI YA MBIO ZA MWENGE ZA MWAKA 2025

    May 15, 2025
  • VIKUNDI 64 VYA WANAWAKE, VIJANA, NA WATU WENYE ULEMAVU, VYAPATIWA MIKOPO YA ASILIMIA 10

    May 15, 2025
  • "NENDENI MKASIMAMIE MIRADI VIZURI NA IISHE KWA WAKATI” - MHE. ELIA DIGHA.

    May 13, 2025
  • ZIARA YA KAMATI YA FEDHA YA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA, KUTEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

    May 09, 2025
  • Angalia zote

Video

WATUMISHI WAPYA WAASWA KUWEKA AKIBA
More Videos

Kurasa za karibu

Tovuti mashuhuri

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.