• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji na Udhibiti wa Majitaka
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria na Usalama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Ukaguzi wa Ndani





MAJUKUMU YA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI NA UTEKELEZAJI WAKE


  • UTANGULIZI

Kwa mujibu wa kifungu cha 48(1) cha sheria ya fedha za Serikali za Mitaa namb.9 ya mwaka 1982 kama ilivyorekebishwa mwaka 2000, na kama ilivyonukuliwa katika Amri ya 13(1) ya Kanuni za Fedha katika Mamlaka ya Serikali za Mitaa ya mwaka 2009 kinabainisha kuwa “Hesabu za kila Halmashauri ya Wilaya na za Mamlaka za Miji zitakaguliwa na Mkaguzi wa Ndani aliyeajiriwa na mamlaka husika” mwisho wa kunukuu. Ukaguzi wa Ndani unafanya kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na Miongozo ya fedha kama inavyotolewa na serikali  mara kwa mara. Ukaguzi wa Ndani pia unazingatia Viwango vya Kimataifa vya Ukaguzi wa Ndani(International Standards for the Professional Practice of Internal Auditing (Standards) vinavyotolewa na Taasisi ya Kimataifa ya ukaguzi wa ndani(The Insitute of Internal Auditors) ambavyo vimeridhiwa na Bodi ya Wahasibu na Wakaguzi (NBAA) Tanzania.

2.0 Majukumu ya Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

Kwa mujibu wa AMRI ya 14(4) ya Memoranda ya fedha katika Serikali za Mitaa ya mwaka 2009 na makubaliano ya majukumu ya Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kati ya Uongozi wa Halmashauri na Mkaguzi wa Ndani (Charter for Internal Audit Services),majukumu ya Mkaguzi wa ndani ni pamoja na;

  • Kufanya tathmini na kuchangia katika uboreshaji wa:
  • Shughuli za kiutawala (Governance processes)
  • Uthibiti wa vihatarishi (Risk management Processes)
  • Mfumo wa uthibiti wa ndani (Control Processes)

(ii)Kufanya tathmini ya kazi mahsusi na mifumo kama ifuatavyo:

Kupitia na kutoa taarifa juu ya mapato na matumizi ya fedha za umma kama yanazingatia Sheria, Kanuni,Taratibu na Mikataba iliyopo. (Financial Audits)

Kuhakiki na kutoa taarifa juu ya shughuli za utekelezaji wa miradi ya maaendeleo na kubaini kama thamani ya fedha zilizotumika zimepatikana(Performance Audits or Value for Money Audit).

Kufanya ukaguzi wa Rasrimali watu (Human Resource Audits).

Ukaguzi wa manunuzi ya umma (Procurement Audits).

Kutoa ushauri wa namna ya kuongeza thamani katika masuala mbalimbali kwa makubaliano na mteja (Consulting Activities).

3.0 WATUMISHI WALIOPO KATIKA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI.

CHRISTOPHER KIDUBO

MKUU WA KITENGO CHA UKAGUZI WA NDANI

MKAGUZI WA NDANI                                                   

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • UFADHILI WA MASOMO VETA June 08, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI ZA MUDA July 17, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WALIMU WA KATA YA ITAJA WAJENGEANA UWEZO KUPITIA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI(MEWAKA) KWA UFADHILI WA MRADI WA SHULE BORA

    February 04, 2023
  • WASTAAFU WOTE WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA

    January 26, 2023
  • Mhe. Mhandisi Paskas Muragili akiongoza Mdahalo kutafakari mafanikio ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    December 10, 2022
  • Zoezi la upandaji miti likiendelea kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    December 08, 2022
  • Angalia zote

Video

Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru yafanyika Manyoni Singida kimkoa.
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.