• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji na Udhibiti wa Majitaka
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria na Usalama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Maendeleo ya Jamii

IDARA YA  MAENDELEO YA JAMII

Halmashauri imeendelea kutenga fedha kwa ajili ya kutoa mikopo kwa Vijana na Wanawake kwa mujibu wa Ibara za 60 na 61 zinazoitaka Halmashauri kutenga fedha na kuviwezesha Vikundi vya Vijana na Wanawake katika kufanya shughuli za kiuchumi ili kuondokana na umasikini. Kwa kuzingatia Ibara hizi mbili yafuatayo yamefanyika kutoka mwaka 2015 – 2020.

  • Utoaji wa mikopo kwa vikundi vya Wanawake vikundi 62, Vijana vikundi 47 na watu wenye Ulemavu vikundi 7yenye jumla  Tshs. 132,083,876/=

Mwaka 2015/2016 , mikopo yenye thamani ya Tsh 6,000,000 kwa vikundi 11 (wanawake 6 na vijana 5) , Mwaka 2016/2017,  mikopo yenye thamani ya Tsh. 6,000,000/= kwa vikundi  11 (wanawake  6, vijana 5) , Mwaka 2017/2018, mikopo yenye thamani ya Tsh. 15,500,000/=kwa vikundi 31(Wananawake 16, Vijana 14 na Watu wenye Ulemavu 1), Mwaka 2018/2019,  mikopo yenye thamani ya Tsh 52,000,000 kwa vikundi35 (Wanawake 17, Vijana 15 na watu wenye ulemavu 3 na kwa mwaka 2019/2020 mikopo yenye thamani ya Tsh. 53,583,876 kwa vikundi 27(wanawake 17, Vijana 7, na watu wenye ulemavu 3).

  • Halmashauri kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo SEMA, VETA, Chuo cha sabasaba (VRTC) na International Beekeeping open School and post primary Education (IBOS) tumefanikiwa kutoa mafunzo ya Ujasiliamali ikiwa ni pamoja na uongezaji wa thamani kwenye bidhaa wanazozalisha kwa vikundi kama inavyoonesha hapa chini;-

Mafunzo kwa vikundi 35 vya Wanawake 17 vya Vijana 15 na watu wenye ulemavu 3 vyenye wanachama 336 wanawake 192 na vijana 144, Chuo cha sabasaba VRTC watoa mafunzo ya ushonaji kwa vijana 15 ME 11 na KE 4., Shirika la SEMA wametoa mafunzo ya mapishi, ufugaji kuku, upambaji na ususi kwa vijana 296 KE 185 ME 111, Chuo cha VETA wametoa mafunzo kwa vijana wa kiume 98, International beekeeping open school and post primary education (IBOS) wametoa mafunzo ya ufugaji nyuki kwa vijana 20 KE 9 na vijana ME 11 na hivyo kufanya jumla ya watu 765 waliopata mafunzo wakiwepo KE 390 ME 375

  • Jumla ya Wasichana 3,049 wametambuliwa kupitia kaya maskini zilizo kwenye mpango wa TASAF kwa lengo la kupatiwa elimu ya UKIMWI na Ujasiriamali kwa kushirikiana na shirika kazi duniani (ILO) na wamehamasishwa kuunda vikundi ambapo jumla ya vikundi 30 vimeundwa na utaratibu wa kupatiwa elimu unaendelea.

Matangazo

  • NOTISI YA KUONDOKA KATIKA MAENEO YA MKUZA WA BOMBA MRADI WA BOMBA LA MAFUTA GHAFI LA AFRIKA MASHARIKI May 29, 2023
  • TANGAZO LA KAZI YA MUDA YA KUKUSANYA USHURU WA HALMASHAURI February 10, 2023
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KWA MASHARTI YA KUDUMU KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA February 22, 2023
  • UFADHILI WA MASOMO VETA June 08, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • MWENYEKITI AIOMBA SERIKALI ITOE BEI ELEKEZI KWA ZAO LA ALIZETI

    May 23, 2023
  • MKUU WA MKOA WA SINGIDA AFANYA ZIARA YA KIKAZI MSITU WA MUNKHOLA.

    May 11, 2023
  • MKUU WA WILAYA YA SINGIDA MHANDISI PASKAS MURAGILI AFANYA ZIARA KUKAGUA UJENZI WA NYUMBA YA WALIMU NA BWALO LA CHAKULA KATA YA UGHANDI

    May 03, 2023
  • UWEKAJI WA JIWE LA MSINGI KATIKA ZAHANATI YA KIJIJI CHA MAKHANDI KUFUATIA WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 59 YA MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBAR

    April 25, 2023
  • Angalia zote

Video

Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru yafanyika Manyoni Singida kimkoa.
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.