• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji na Udhibiti wa Majitaka
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria na Usalama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Elimu Msingi

Utekelezaji wa Ilani katika utoaji wa elimu ya Msingi uko katika maeneo yafuatayo:-

  • Ujenzi wa Miundombinu ya Elimu Msingi, Halmashauri ya Wilaya kwa kipindi cha 2016/2017, 2017/2018 na 2018/2019 ilipokea fedha kiasi cha Tsh1,016,384,337/= kwa mchanganuo ufuatao: - kiasi cha Tsh. 737,960,150 EP4R, 278,424,187 EQUIP-T na na fedha Maboma Tsh87, 500, 000 kwa ajili ya ujenzi wa Mabweni 2, Madarasa 70, vyoo matundu 294, ukarabati vyumba 3 vya madarasa, ofisi 12 na ujenzi wa nyuma za walimu 6.
  • Aidha   uandikishaji umeongezeka kutoka124% mwaka 2016/2017 na kufikia 126% kwa mwaka2018.
  • Elimu Bila Malipo – Darasa la awali hadi darasa la VI (shule za Serikali).

Halmashauri ya Wilaya ya Singida kwa kipindi cha 2015/2016, 2016/2017, 2017/2018, 2018/2019 na 2019/2020 ilipokea jumla ya Tsh 2,401,072,529.23  fedha za  uendeshaji ( Capitation) kwa ajili ya  ununuzi wa vifaa, ukarabati, chakula, mitihani, michezo, Chakula  na utawala katika shule zote 99 za Serikali kwa elimu msingi.

Hali iliyopelekea kuongezeka kwa ufaulu kama ifuatavyo:

MWAKA

WALIOFAULU MTIHANI

%

2014

5,356

73.00

2015

4,818

91.41

2016

5,479

93.67

2017

6,512

94.01

2018

7,394

93.09

2019

4333

81.02

Aidha hali ya mdondoko imepungua kutoka 5% mwaka 2015 hadi 0.3% kwa mwaka 2019.

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • UFADHILI WA MASOMO VETA June 08, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI ZA MUDA July 17, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WALIMU WA KATA YA ITAJA WAJENGEANA UWEZO KUPITIA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI(MEWAKA) KWA UFADHILI WA MRADI WA SHULE BORA

    February 04, 2023
  • WASTAAFU WOTE WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA

    January 26, 2023
  • Mhe. Mhandisi Paskas Muragili akiongoza Mdahalo kutafakari mafanikio ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    December 10, 2022
  • Zoezi la upandaji miti likiendelea kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    December 08, 2022
  • Angalia zote

Video

Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru yafanyika Manyoni Singida kimkoa.
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.