• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Fedha na Uhasibu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Kitengo cha Mawasiliano Serikalini
      • Huduma za Afya,Ustawi wa Jamii na LIshe
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • USIMAMIZI WA TAKA NA USAFI
    • Vitengo
      • TEHAMA na TAKWIMU
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi na Ununuzi
      • Michezo , Utamaduni na Sanaa
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025 ,TAKUKURU SINGIDA WATOA SOMO

Posted on: February 11th, 2025

Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa Mkoani Singida leo Februari 11,2025 wametoa elimu kwa viongozi wa dini mbalimbali, viongozi wa kimila,wazee maarufu,viongozi wa asasi zisizo za kiserikali na watu wenye mahitaji maalumu juu ya madhara ya rushwa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu 2025,mafunzo yaliyofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi(NAO)mkoani Singida.

Awali akiwasilisha mada katika semina hiyo,Afisa Mwandamizi wa TAKUKURU mkoani Singida, Bw.Joseph John Kailanya ametoa mada kuhusu aina za rushwa katika uchaguzi,makosa ya jinai katika katika uchaguzi na njia mbali mbali za kuripoti taarifa za vitendo vya rushwa na madhara ya rushwa.

Mkuu wa TAKUKURU mkoani Singida Bi.Sipha Mwanjala ameainisha majukumu ya Taasisi hiyo ambayo ni "KUZUIA NA KUPAMBANA"na rushwa kwa lengo la kuhakikisha haki inatendeka kwa kila mmoja.Pia amewasisitiza wananchi kutumia jukwaa la 'TAKUKURU RAFIKI' ili kupata elimu kuhusu Masula ya rushwa na pia kuwawezesha kuibua kero mbalimbali na kupendekeza namna gani ya kuzitatua.

Mkuu wa Mkoa wa Singida Mhe.Halima Dendego ambaye amekua mgeni rasmi katika semina hiyo amezungumzia kuhusu madhara ya rushwa katika uchaguzi akiainisha baadhi ya madhara yake hasi ikiwemo kuchagua viongozi wasiofaa katika jamii ambao hushindwa kuwahudumia wananchi kwa ufanisi pamoja na kuharibu misingi ya demokrasia ambayo hupelekea kuharibu amani na uchumi wa jamii na nchi yetu kwa ujumla.

"Tunao wajibu wa kutoa elimu na kuhamasisha jamii kuiepuka rushwa hususani katika kipindi kijacho cha uchaguzi,ili kuwapata viongozi bora ni lazima tuikemee rushwa ili kudumisha haki na uwajibikaji wao kwa wananchi"amesema Mhe.Dendego.

Pia ameahidi kutoa ushirikiano wa kutosha kwa TAKUKURU kwa wakati wowote watakapohitaji ushirikiano wao,pia kuwa bega kwa bega katika kuhakikisha vitendo vya rushwa vinatosha kwa lengo la kuhakikisha utendaji bora wa kazi na kwa haki kwa kuhakikisha wote watakaohusika katika vitendo hivyo wanachukuliwa hatua za kisheria.

Matangazo

  • TANGAZO LA BVR May 11, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA April 17, 2025
  • MAENEO YA UWEKEZAJI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA January 03, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI ZA MUDA July 17, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WAKUU WA IDARA NA VITENGO WA HALMASHAURI YA SINGIDA WAPATA MAFUNZO KUHUSU USHIRIKIANO NA SEKTA BINAFSI KATIKA UWEKEZAJI

    April 03, 2025
  • TAWA YATOA ELIMU YA MBINU ZA KUKABILIANA NA WANYAMA PORI

    April 03, 2025
  • HALMASHAURI YA MANISPAA KIGOMA UJIJI WATEMBELEA HALMASHAURI YA SINGIDA

    March 28, 2025
  • MKUU WA WILAYA YA SINGIDA AWAASA WALIMU KUEPUKA MIKOPO UMINZA

    March 22, 2025
  • Angalia zote

Video

Mgogoro wa Ardhi Tarafa ya Mgori wamaliizika
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Jengo la Utawala Kijiji cha Mwahango Kata ya Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.