• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji na Udhibiti wa Majitaka
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria na Usalama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

RC Mahenge Agawa Pikipiki 166 kwa Maafisa Kilimo Mkoani Singida.

Posted on: June 15th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Binilith Mahenge leo amekabidhi  pikipiki 166 kwa Maafisa Ugani wa Halmashauri za mkoa huo kama sehemu ya vitendea kazi na kuwataka kufanya mabadiliko makubwa kwenye sekta ya kilimo na ufugaji  huku  akisisitiza upatikanaji wa takwimu sahihi kwa kuwa  itakuwa rahisikuwafikia wakulima popote walipo.

Akizungumza kabla ya kukabidhi pikipiki hizo Dkt. Mahenge amesema pikipiki 161 zitakabidhiwa kwa Maafisa Ugani wa Halmashauri za Manyoni, Singida Dc, Iramba, Mkalama na Manispaa ya Singida huku pikipiki tano(5) zikigawiwa kwa Maafisa Ushirika wa Mkoa ambapo zitatumika kuwafikia wakulima pamoja na vyama vya Ushirika katika kuleta tija kwenye Kilimo.

Aidha Dkt Mahenge ameeleza kwamba msimu wa kilimo unaokuja serikali inampango wa kugawa mbegu za allizeti kwa wakulima kama ilivyofanya kwa msimu uliopita hivyo akawaagiza Maafisa Ugani hao kuimarisha usimamizi wa kilimo ili kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo ambayo  yatachangia pato la wakulima na taifa kwa ujumla.

Naye Natalia Mosha Afisa Kilimo(W) kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Singida akiishukuru Serikali kwa  kuwapatia pikipiki hizo huku akiahidi kwamba wataweza kuwafikia na kuwahudumia wakulima wengi kwa muda mfupi jambo ambalo litaleta matokeo makubwa katika sekta hiyo.

Matangazo

  • NAFASI ZA KAZI May 24, 2022
  • UFADHILI WA MASOMO VETA June 08, 2022
  • UFADHILI WA MASOMO VETA June 08, 2022
  • WALIOCHAGULIWA DARASA LA SABA 2020 December 20, 2020
  • Angalia zote

Habari mpya

  • RC Mahenge Agawa Pikipiki 166 kwa Maafisa Kilimo Mkoani Singida.

    June 15, 2022
  • Jengo la Wagonjwa Mahututi(ICU) Katika Hatua za Mwisho

    June 01, 2022
  • Mdau wa Maendeleo JSI akabidhi zawadi kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

    December 20, 2021
  • SINGIDADC YAPOKEA FEDHA ZA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO KWA USTAWI WA TAIFA NA MAPAMBANO DHIDI YA UVIKO-19

    October 25, 2021
  • Angalia zote

Video

Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru yafanyika Manyoni Singida kimkoa.
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.