• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Singida District Council
Singida District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais - Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Singida

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha na Biashara
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Ardhi na Maliasili
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maji na Udhibiti wa Majitaka
    • Vitengo
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Sheria na Usalama
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha, uongozi na mipango
      • Uchumi, ujenzi na mazingira
      • Huduma za jamii
      • VVU UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya madiwani
      • Kumuona mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Sheria ndogo
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
    • Mpango mkakati
    • Ripoti mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya picha

Zoezi la upandaji miti likiendelea kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Posted on: December 8th, 2022

Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Singida ndugu. Ally Mwendo akimuwakilisha Mkuu wa Wilaya hiyo Mhe. Mhandisi Paskas Muragili kwenye zoezi linaloendelea la upandaji miti  katika maeneo ya Shule ya Msingi Sekoutoure na Shule ya Sekondari inayoendelea kujengwa kijijini hapo. Jumla ya miti 100 ya kivuli na miti ya matunda imepandwa kijijini. Akizungumza na wananchi, walimu, wanafunzi na wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Singida Kaimu Katibu Tawala wa wilaya ya Singida ndugu Ally Mwendo amewaasa kwamba miti inayoendelea kupandwa kijijini hapo na maeneo mengine yote ya Wilaya ya Singida itunzwe ili kukabiliana na janga la ukame. Hata hivyo Ndugu. Issa Mwiru Mhe. Diwani wa Kata ya Ilongero ameishukuru Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa  na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa  miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika kata ya Ilongero Wilaya ya Singida na kutoa kipaumbele cha shughuli za huduma za Kijamii zinazoendelea wilayani humo kama kutembelea na kuhudumia watoto wenye ulemavu wanaoishi katika kituo cha kulelea watoto kiitwacho Ilongero Parish, shughuli za usafi wa mazingira,  upandaji miti , huduma za kijamii zilizotolewa katika kituo cha afya Ilongero na Hospitali ya St. Carolus Mtinko pamoja na midahalo inayoendelea shule ya Sekondari Ilongero katika msimu wa Wiki ya Uhuru. Haya yote yamejiri kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara. 

Matangazo

  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 KWA SHULE ZA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA December 01, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI November 11, 2022
  • UFADHILI WA MASOMO VETA June 08, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA KAZI ZA MUDA July 17, 2022
  • Angalia zote

Habari mpya

  • WALIMU WA KATA YA ITAJA WAJENGEANA UWEZO KUPITIA MAFUNZO YA WALIMU KAZINI(MEWAKA) KWA UFADHILI WA MRADI WA SHULE BORA

    February 04, 2023
  • WASTAAFU WOTE WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SINGIDA

    January 26, 2023
  • Mhe. Mhandisi Paskas Muragili akiongoza Mdahalo kutafakari mafanikio ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    December 10, 2022
  • Zoezi la upandaji miti likiendelea kuelekea kilele cha Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 61 ya Uhuru wa Tanzania Bara

    December 08, 2022
  • Angalia zote

Video

Maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru yafanyika Manyoni Singida kimkoa.
More Videos

Kurasa za karibu

  • Matangazo
  • Habari
  • Matukio

Tovuti mashuhuri

  • Tovuti kuu ya Taifa
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais - Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu wa Mkoa - Singida
  • Ofisi ya Taifa ya Takwimu
  • Sekretarieti ya Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

writingMasterThesis

Location Map

Wasiliana nasi

    Ilongero

    Anuani ya Posta: Box 27, Singida

    Simu: +25526502252

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ded.singidadc@singida.go.tz

Mawasiliano zaidi

   

    • Sera ya faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Singida. Haki zote zimehifadhiwa.